Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Nape Moses Nnauye (aliyesimama) akiwaeleza jambo wajumbe wa kamati ya Bunge ya
Maendeleo ya Jamii wakati Kamati hiyo
ilipotembelea Azam Media jana Jijini Dar es Salaam. Katikati ni
Mkurugenzi wa Azam Media Bw.Tido Muhando.
Mkurugenzi wa Azam Media
Bw. Tido Muhando (aliyesimama) akiwaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo
ya Jamii (hawapo pichani) utendaji kazi wa Chombo hicho wakati Kamati hiyo ilipotembelea Azam Media jana Jijini Dar es
Salaam.Wa kwanza kushoto ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo
Mhe. Anastazia Wambura.
Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii
ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Mhe. Faustine Ndugulile
akizungumza jambo kwa Kamati hiyo na uongozi wa Azam Media
wakati Kamati ilipotembelea chombo hicho jana Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya
Maendeleo ya Jamii wakimsikiliza Mkurugenzi wa Azam Media Bw. Tido
Muhando(hayupo pichani ) wakati Kamati ilipotembelea chombo hicho jana Jijini
Dar es Salaam.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe.
Nape Moses Nnauye wa kwanza kushoto akizungumza na wasikilizaji wa Uhai Radio
wakati Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya
Jamii ilipotembelea studio hizo jana Jijini Dar es Salaam.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...