Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye (aliyesimama) akiwaeleza jambo wajumbe wa kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii wakati  Kamati  hiyo  ilipotembelea Azam Media jana Jijini Dar es Salaam. Katikati ni Mkurugenzi wa Azam Media Bw.Tido Muhando.
 Mkurugenzi wa Azam Media Bw. Tido Muhando (aliyesimama) akiwaeleza wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii (hawapo pichani) utendaji kazi wa Chombo hicho wakati  Kamati  hiyo  ilipotembelea Azam Media jana Jijini Dar es Salaam.Wa kwanza kushoto ni Naibu Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Anastazia Wambura.
 Mjumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii ambae pia ni Mbunge wa Jimbo la Kigamboni Mhe. Faustine Ndugulile akizungumza  jambo  kwa Kamati hiyo na uongozi wa Azam Media wakati Kamati ilipotembelea chombo hicho jana Jijini Dar es Salaam.

 Baadhi ya Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii wakimsikiliza Mkurugenzi wa Azam Media Bw. Tido Muhando(hayupo pichani ) wakati Kamati ilipotembelea chombo hicho jana Jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Habari Utamaduni Sanaa na Michezo Mhe. Nape Moses Nnauye wa kwanza kushoto akizungumza na wasikilizaji wa Uhai Radio wakati  Kamati ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii ilipotembelea studio hizo jana Jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...