Kamati ya Maudhui ya Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA)  leo imevitembelea vituo vya utangazaji vya CLOUDS MEDIA GROUP, ikiwa katika ziara ya kawaida ya kuvitembelea vituo vya utangazaji nchini katika kutoa elimu ya uboreshaji wa maudhui ya utangazaji nchini. 
Pichani kushoto ni Ruge Matahaba, mmoja wa wakurugenzi wa Clouds Media, akitoa maelezo kwa wajumbe wa Kamati ya Maudhui ambao ni Mwenyekiti Valerie Msoka,  Joseph Mapunda, Abdul Ngalawa. Derek Murusuri   Zainabu Mwatawala.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...