Katibu wa Bunge ambaye pia ni msimamizi wa Uchaguzi wa Wawakilishi wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki Dkt. Thomas Kashililah akizungumza na wawakilishi mbalimbali wa Vyama vya Siasa kuhusu uchaguzi wa Wawakilishi wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashiriki. Wa kwanza kulia kwake ni Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
Katibu wa Bunge ambaye pia ni msimamizi wa Uchaguzi wa Wawakilishi wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashariki Dkt. Thomas Kashililah akizungumza na wawakilishi mbalimbali wa Vyama vya Siasa kuhusu uchaguzi wa Wawakilishi wa Tanzania katika Bunge la Afrika Mashiriki. Wa kwanza kulia kwake ni Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi. Kikao hicho kimefanyika leo katika Ofisi Ndogo za Bunge Jijini Dar es Salaam.
Msajili wa Vyama vya Siasa Jaji Francis Mutungi akifafanua jambo katika kikao hicho.
Wawakilishi mbambali wa Vyama vya Siasa wakifuatilia kikao hicho.
Wawakilishi mbambali wa Vyama vya Siasa wakifuatilia kikao hicho.
(Picha na Ofisi ya Bunge)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...