Kivuko cha MV Sabasaba kinachotoa huduma ya kuvusha magari na abiria kati ya Kigongo na Busisi katika Ziwa Victoria kikiwa kinaelea katika ziwa hilo mjini Mwanza.
Baadhi ya magari ya watu binafsi na mabasi ya abiria yakisubiri kuingia katika kivuko cha MV SENGEREMA kinachotoa huduma zake kati ya Kigongo na Busisi katika ziwa Victoria jijini Mwanza tayari kwa kuvuka kuelekea Kigongo kutokea Busisi.PICHA ZOTE NA ALFRED MGWENO TEMESA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...