Kivuko cha MV Sabasaba kinachotoa huduma ya kuvusha magari na abiria kati ya Kigongo na Busisi
katika Ziwa Victoria kikiwa kinaelea katika ziwa hilo mjini Mwanza.
Baadhi ya magari ya watu binafsi na mabasi ya abiria yakisubiri kuingia katika kivuko cha MV
SENGEREMA kinachotoa huduma zake kati ya Kigongo na Busisi katika ziwa Victoria jijini Mwanza tayari
kwa kuvuka kuelekea Kigongo kutokea Busisi.PICHA ZOTE NA ALFRED MGWENO TEMESA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...