Marehemu Ibrahim Werrema John
Ni miaka 4 sasa toka ndugu yetu kipenzi Ibrahim Werrema John ututoke, unakumbukwa sana na mke wako kipenzi, Bi. Agatha, wazazi wako Mr. & Mrs John Keraryo, dada na kaka zako, baba mkwe mzee Soka, ndugu jamaa na marafiki. Kimwili hauko nasi lakini busara na upendo uliokua nao kwetu bado vinaishi nasi. Mapenzi ya bwana na yatimie. 
AMEN

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...