Mgeni rasmi; Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka akiongoza maandamano na viongozi wa Chuo cha Ardhi – Morogoro, pamoja na Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Tabora, Bwn. Justo Lyamuya, wakati wa maafali ya 35 ya chuo cha Ardhi – Morogoro.
Mgeni rasmi; Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka akitoa hotuba katika maafali ya 35 ya Chuo cha ardhi Morogoro, kushoto kwake ni Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Morogoroius; Bwn. Desderius Kimbe, anayemfuatia ni Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Tabora; Bwn. Justo Lyamuya.
Katika picha ya pamoja na wahitimu na baadhi ya wanafunzi, katikati ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka, kushoto kwake ni; Kaimu Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Morogoro Bwn. Desderius Kimbe na kulia kwake ni Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Tabora, Bwn. Justo Lyamuya. 
Mkuu wa Chuo cha Ardhi – Tabora, Bwn. Justo Lyamuya akitoa maelezo ya kina kuhusu matumizi ya kifaa cha upimaji Ardhi kwa baadhi ya waalikwa wa Maafali ya 35 ya Chuo cha Ardhi – Morogoro.
Mgeni rasmi; Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Dr. Moses Kusiluka akifuatilia kwa makini maelekezo ya Mwanafunzi wa Chuo cha Ardhi – Morogoro, ambaye alikuwa akionyesha jinsi ya kutumia kifaa cha upimaji Ardhi, wakati wa maafali ya 35 ya chuo cha Ardhi – Morogoro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...