Mkurugenzi Idara ya Habari( MAELEZO) Dkt Hassan Abbasi akitoa mada katika kikao kazi cha maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea Mjini Dodoma Leo Marchi 17,2017. 
 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na  Michezo Bibi Nuru Millao akifuatilia mada katika kikao kazi cha maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea Mjini Dodoma Leo March 17,2017.
 Baadhi ya Maafisa Mawasiliano Serikalini wakifuatilia mada katika kikao kazi cha maafisa Mawasiliano Serikalini kinachoendelea Mjini Dodoma Leo March 17,2017.Picha zote na Raymond Mushumbusi (WHUSM) Dodoma

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...