Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), Cliford Tandari akifafanua jambo katika Mkutano wake na Baadhi ya Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje, katika Ukumbi wa Mikutano wa Kituo hicho, Jijini Dar es salaam leo.
 Kiongozi wa Msafara wa Mabalozi hao, Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Balozi Omar Yussuf Mzee akifafanua jambo katika kikao kati yao na uongozi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), walipotembelea leo ili kujionea fursa mbalimbali za uwekezaji zinatolewa na Kituo hicho. ambapo amewataka TIC kuhakikisha wanaandaa maeneo ya viwanda kulingana na uzalishaji unaopatikana katika eneo husika.
Balozi wa Tanzania nchini Korea Kusini, Matilda Masuka akizungumza jambo katika kikao kati yao na uongozi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), walipotembelea leo ili kujionea fursa mbalimbali za uwekezaji zinatolewa na Kituo hicho.
Mkutano baina ya Baadhi ya Mabalozi wanaoiwakilisha Tanzania nchi za nje na uongozi wa Kituo cha Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), wakiongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Cliford Tandari, ukiendelea.
Balozi wa Tanzania nchini Oman, Balozi Abdallah Kilima (katikati) akizungumza katika kikao kati yao na uongozi wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC), walipotembelea leo ili kujionea fursa mbalimbali za uwekezaji zinatolewa na Kituo hicho.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...