Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akiongea na baadhi ya Viongozi na Watendaji wa Mashirika ya DAWASA na DAWASCO pamoja na Waandishishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani yanayoanza leo tarehe 16 hadi kilele chake 22 Machi, 2017 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Shirika la Maji Safi na Majitaka Dar es Salaam (DAWASCO) Bw. Kiula Kingu akijibu baadhi ya maswali toka kwa Waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani yanayoanza leo tarehe 16 hadi kilele chake 22 Machi, 2017 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Meneja Mahusiano ya Jamii Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Dar es Salaam (DAWASA) Bi. Neli Msuya akifafanua baadhi ya hoja na kujibu maswali toka kwa Waandishi wa habari kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani yanayoanza leo tarehe 16 hadi kilele chake 22 Machi, 2017 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Waandishi wa Habari pamoja na Watendaji toka Mashirika ya DAWASA na DAWASCO wakifuatilia taarifa mbalimbali toka kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Mhe. Paul Makonda pamoja na Watendaji wa DAWASA na DAWASACO kuhusu Maadhimisho ya Wiki ya Maji Duniani yanayoanza leo tarehe 16 hadi kilele chake tarehe 22 Machi, 2017 katika Ukumbi wa Mwalimu Nyerere Jijini Dar es Salaam. (Picha/Habari na Benedict Liwenga-WHUSM)

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...