Siku ya jumamosi ya 11
Machi 2017 katika viwanja vya Madrasat Rahman iliyopo Segerea Mwisho jijini Dar-es-salaam palikuwa hapatoshi kwa
mkusanyiko wa waumini wa dini ya Kiislam waliokusanyika katika shughuli ya
kisomo cha Maulid ya kumsalia mtume Muhammad (S.A.W). Shughuli hiyo ya Maulid
ilifana sana kwa kuhudhuriwa na wingi wa waumini , wanazuoni na viongozi mbali
mbali wa dini hiyo.
Unaweza kujumuika nao katika at Rahman Madrasa Segerea
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...