Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Alhaji Mussa Mbaruku (aliyevaa shati la draft) wa kwanza kulia akiangalia
namna uchimbaji wa mfereji wa kupitishia maji wakati wa mvua
unavyochimbwa wakati alipofanya ziara ya kuutembelea leo.
Kazi zikiendelea
kama inayoonekana kwenye eneo hilo
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Alhaji Mussa Mbaruku wa tatu kutoka kushoto akisisitiza jambo kwa
msimamizi wa mradi huo Ephahim Lucas wakati alipotembelea ujenzi wa
mfereji huo ili kuona kasi yake ya utendaji kama inakidhi
viwango.
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF)
Alhaji Mussa Mbaruku akiingia kwenye moja ya chemba zilizopo kwenye
ujenzi wa mfereji huo.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...