Msemaji na Kaimu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Uganda, Andrew Felix Kaweesi pamoja na walinzi wake wawili wameuwawa kwa kupigwa risasi asubuhi ya leo na watu wasiojulikana mita chache kutokea nyumbani kwake, Kulambiro jijini Kampala. Kikosi cha Usalama cha nchi hiyo kimethibitisha kutokea kwa tukio hilo.
Pichani ni Gari alitokuwa akiitumia  Msemaji na Kaimu Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini Uganda, Andrew Felix Kawees.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...