Naibu Waziri, Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Anthony Mavunde (wa tatu kulia) aongoza matembezi ya uhamasishaji wa Umma kuhusu umuhimu wa Afya ya Kinywa na Meno Jumapili asubuhi mjini Dodoma katika eneo la Nyerere square ambapo kilele cha wiki ya afya ya kinywa na meno Tanzania na maadhimisho ya siku ya afya ya kinywa na meno duniani yamefanyika katika eneo hilo.
Wakiwa katika Maandamano katika baadhi ya Barabara za Dodoma.
Mgeni rasmi katika picha ya pamoja na Madaktari na viongozi mbalimbali
Wanafunzi wa Sekondari ya Dodoma wakiwa katika picha ya pamoja baada ya matembezi hayo. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...