Pichani ni Kijana
anayefahamika kwa jina la ERICK RAPHAEL
MSYALIHA anayeishi Sinza-Mugabe ametoweka Ghafla Tarehe 13.03.2017 majira ya
usiku alipochukuliwa na watu wasio famika akiwa mitaa ya nyumbani kwake. Mpaka sasa hajarejea nyumbani, hivyo anatafutwa
na ndugu zake, Tunaomba yeyote atakayemuona
au kupata Taarifa zake atujulishe kwa namba +255718105959 au atoe Taarifa
katika Kituo cha Polisi kilicho jirani nae,Tunatanguliza Shukurani zetu
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...