Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TANTRADE) , Bw. Edwin Rutageruka akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya biashara na ujasiriamali kwa maofisa watendaji kata wa manispaa ya Temeke kwa lengo la kuwajengea uwezo na kuwahamasisha wananchi katika maeneo hayo kutambua fursa mbalimbali za biashara zinazotolewa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(Tan Trade). Kushoto ni Mchumi wa Manispaa ya Temeke Bw. Erick Kilangwa. Na kulia ni Mkurugenzi wa Ukuzaji Biashara wa TANTRADE, Bi.Anna Bulondo.
chumi wa Manispaa ya Temeke Bw. Erick Kilangwa (katikati) akisisitiza jambo wakati wa ufunguzi wa mafunzo ya biashara na ujasiriamali kwa maofisa watendaji kata wa manispaa hiyo kwa lengo la kuwajengea uwezo na kuwahamasisha wananchi katika maeneo hayo kutambua fursa mbalimbali za biashara zinazotolewa na Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE). Kulia ni Kaimu Mkurugenzi wa TANTRADE,Bw.Edwin Rutageruka. Na kushoto ni Mchumi wa TANTRADE, Bw.Emmanuel Miselya. Mafunzo hayo yameratibiwa na TANTRADE.
Watendaji Kata wa Manispaa ya Temeke wakifatilia mada kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE) , Bw. Edwin Rutageruka katika ufunguzi wa mafunzo ya siku moja ya biashara na ujasiriamali lenye lengo la kuwajengea uwezo kuwahamasisha wananchi katika maeneo hayo kutambua fursa mbalimbali za biashara zinazotolewa kuwahamasisha wananchi katika maeneo hayo kutambua fursa mbalimbali za biashara zinazotolewa na TANTRADE.
Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(TANTRADE) , Bw. Edwin Rutageruka akifurahi jambo na Mchumi wa Manispaa ya Temeke Bw. Erick Kilangwa mara baada ya kumalizika kwa mafunzo ya biashara na ujasiriamali kwa maofisa watendaji kata 23 za manispaa hiyo kwa lengo la kuhamasisha wananchi katika maeneo yao kutambua fursa za biashara zinazotolewa na TANTRDE.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...