Taarifa iliyotufikia asubuhi hii katika chumba chetu cha habari, inaeleza kuwa Meneja Mawasiliano wa Mamlaka ya Usafiri wa nchikavu na Majini (SUMATRA), David Mziray amefariki dunia alfajiri ya kuamkia leo, taratibu za mazishi zinafanywa nyumbani kwake Kimara-Temboni, Jijini Dar es salaam. tunaendelea kujuzana kadri taarifa zitakavyoendelea kutufikia.
Mungu aiweke Roho ya Marehemu David Mziray mahala pema Peponi.
Amin.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...