Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC,Kanda ya Ziwa, Ayubu Kalufya(kushoto) akipokea tuzo kutoka kwa Mkurugenzi wa Asasi ya Nitetee Flora Lauo,Ikiwa ni tuzo maalum kwa  mchango wa kampuni hiyo kwa kusaidia afya ya mama na mtoto kupitia mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Tanzania Foundation”, kwenye hafla ya Nitetee Women's Awards iliyofanyika jijini Mwanza juzi. 
Mkuu wa Vodacom Tanzania PLC, Kanda ya Ziwa,Ayubu Kalufya(katikati) Meneja Mauzo na Usambazaji wa kampuni hiyo Wilayani Magu,Gift Tesha(kushoto) na Meneja Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania PLC,Mwanza mjini, Victoria Chale wakifurahia tuzo maalum kwa  mchango wa kampuni yao walioshinda kwa kusaidia afya ya mama na mtoto kupitia mfuko wa kusaidia jamii wa kampuni hiyo”Vodacom Tanzania Foundation”, kwenye hafla ya Nitetee Women's Awards iliyofanyika jijini Mwanza juzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...