Wananchi wa jamii ya wafugaji waliposimama katikati ya barabara ya kuingia Makao makuu ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro kwa lengo la kuzuia msafara wa Kamati ya Bunge ya Maliasili na Utalii ilipotembelea Ngorongoro.
Wananchi wa jamii ya wafugaji wanaoishi katika Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro wakilelekea makao makuu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Taifa ya Ngorongoro mara baada ya kuomba kutoa kero zao mbele ya kamati hiyo.
Mkuu wa wilaya ya Ngorongoro,Rashid Taka akitoa neno la ukaribisho kwa wajumbe wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii ilipotembelea wilaya ya Ngorongoro.
Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii,Atashasta Ndetiye akizungumza na wananchi wa jamii ya wafugaji  makao makuu ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro
Wananchi wa Ngorongoro wakifuatilia maelezo ya Mwenyekiti wa kamati ya Bunge ya Ardhi,Maliasili na Utalii,Atashasta Ndetiye alipozungumza nao.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...