Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Diana Malambugi (wa pili kulia), Meneja Mawasiliano na Mahusiano ya Nje wa Kampuni hiyo, Mtanga Noor (kulia), pamoja na baadhi ya wanawawake wafanyakazi wa Kampuni ya Saruji Tanga pamoja na wake wa wafanyakazi, wakishiriki mbio za pole pole kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani zilizoanza eneo la Kange na kumalizikia katika kiwanda cha kampuni hiyo, Pongwe, nje kidogo ya mji wa Tanga juzi.
Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dk. Amina Mchalaganya (wa pili kulia), baadhi ya wanawawake wafanyakazi wa Kampuni ya Saruji Tanga pamoja na wake wa wafanyakazi, wakishiriki mbio za pole pole (jogging), kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani zilizoanza eneo la Kange na kumalizikia katika kiwanda cha kampuni hiyo, Pongwe nje kidogo ya mji wa Tanga.
Meneja Rasilimali Watu wa Kampuni ya Saruji Tanga (TCPLC), Diana Malambugi (wa pili kulia), Meneja Mawasiliano na Mahusiano ya Nje wa Kampuni hiyo, Mtanga Noor (kushoto), Kaimu Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Dk. Amina Mchalaganya (wa pili kushoto), pamoja na baadhi ya wanawawake wafanyakazi wa Kampuni ya Saruji Tanga pamoja na wake wa wafanyakazi, wakishiriki mbio za pole pole kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani zilizoanza eneo la Kange na kumalizikia katika kiwanda cha kampuni hiyo, Pongwe, nje kidogo ya mji wa Tanga.
Meneja Mawasiliano na Mahusiano ya Nje wa Tanga Cement, Bi. Mtanga Noor (kulia), akitoa zawadi kwa baadhi ya wanawake waliohudhuria maadhimisho hayo. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...