Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif akiwapa pole Wananchi wa Kijiji cha Kwagube Kazole walioathiriwa Nyumba zao kutokana na upepo mkali uliovuma Jumapili iliyopita.
Balozi Seif akikabidhi fedha kwa mmoja wa Wananchi walioathirika na Upepo Mkali katika Kijiji cha Kwagube uliotokea Jumapili iliyopita.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar alimkagua Mkuu wa Mkoa wa zamani Bwana Pemba Juma Khamis alipofika nyumbani kwake Bububu Kijichi kuangalia hali yake kiafya baada ya kupata matibabu nchini India.
Mwenyekiti Mstaafu wa Chama cha Mapinduzi Mkoa Mjini Magharibi Bibi Johari Akida akibadilishana mawazo na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif alipofanya ziara ya kumkagua hali yake Nyumbani Kwake Mwanakwerekwe. Picha na OMPR – ZNZ.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...