Mbunge wa Jimbo la Mafia, Mbaraka Dau (kulia) akimuleza jambo, Balozi wa Italia nchini Tanzania, Roberto Mengoni wakati alipotembelea bandari ya Kilindoni, iliyopo katika Kisiwa cha Mafia Mkoani Pwani. Balozi Mengoni, amefanya ziara ya siku 2 katika kisiwa cha Mafia, ambapo aliweza kutembele bandari ya Kilindoni, soko la samaki, hospitali ya wilaya na shule ya Sekondari Kitomondo.
Balozi wa Italia nchini Tanzania, Roberto Mengoni (kulia) akizungumza jambo na Mbunge wa Jimbo la Mafia, Mbaraka Dau (kushoto), walipokuwa katika bandari ya Kilindoni, iliyopo katika Kisiwa cha Mafia Mkoani Pwani. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...