Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja akifafanua jambo kwa mam lishe mbalimbali wa Dar es Salaam wakati wa semina ya mafunzo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam, Benki hiyo itawawezesha Mama lishe wote nchini kwa kuwaunganisha na huduma za bima ya matibabu na bima ya mazishi, huku wakiwezeshwa kutumia huduma za benki hiyo. Huduma hizo zinatotela kwa kushirikiana na Taasisi ya Basila Mwanukuzi.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Covenant Bank, Sabetha Mwambenja (Katikati) akisisitiza jambo kwa Kiongozi wa mama Lishe jijini Dar es Salaam, Getruda Kweka wakati akizungumza na waandishi wa habari, Benki hiyo itawawezesha Mama lishe wote nchini kwa kuwaunganisha na huduma za bima ya matibabu na bima ya mazishi, huku wakiwezeshwa kutumia huduma za benki hiyo. Kulia ni Mwanzilishi wa Taasisi ya Basila Mwanukuzi.
 Mama lishe wakiwa wanasikiliza maelezo kutoka kwa maofisa wa benki, ( Hawapo pichani)

Picha ya Pamoja

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...