Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akipokelewa na mwenyeji wake ambaye ni Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO, Dkt. Hassan Abbasi.
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe (kulia) akiwa katika mazungumzo na Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017.
Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji la Taifa (TBC) akimuonyesha Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe picha za Viongozi mbalimbali waliowahi kuongoza TBC wakati wa ziara yake ya kutembelea vyombo vya habari Jijini Dar es Salaam 10 Aprili, 2017.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...