Mshindi wa Pikipiki ya Sanmoto katika shindano la Shika Ndinga lililoandaliwa na Efm Radio kwa Wilaya ya Ilala, Jane Honga akinyoosha mkono juu kuonyesha furaha yake baada ya kutangazwa kuwa mshindi katika shindano hilo lililofanyika mchana wa leo katika uwanja wa Shule ya Msingi Tabata, Jijini Dar es salaam.
 Mkuu wa Vipindi wa Redio ya Efm 93.7, Dikson Ponela 'Dizo' akikabidhi mkataba wa pikipiki kwa mshindi wa shindano la shika ndinga Wilaya ya Ilala, Jane Honga.
  Mshindi wa Pikipiki ya Sanmoto katika shindano la Shika Ndinga lililoandaliwa na Efm Radio kwa Wilaya ya Ilala, Jane Honga akitokwa na Machozi ya kutoamini kama yeye ndiye aliyeibuka mshindi katika shindano hilo.
 Mshindi wa Shindano la Shika ndinga ambaye ameweza kujinyakulia pikipiki ya Sanmoto , Amani Juma akishangilia kwa furaha mara baada ya kutangazwa mshindi wa shindano hilo katika Wilaya ya Ilala lililofanyika katika uwanaj wa Tabata shule.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...