Mshindi wa shindano la Shika ndinga katika Wilaya ya Kinondoni , Alphonce Daudi akisaini mkataba wa kuwa mshindi wa shindano lashika ndinga huku akiwa amesimamiwa na Afisa Uhusiano wa Efm Neema Makarasi
Mshindi wa Shindano la Shika ndinga na Efm kwa Wanawake Wilaya ya Kinondoni Rehema Nassoro akisaini hati ya kumtambua kuwa ndio mshindi wa shindano la Shika ndinga
Afisa Uhusiano wa Efm Neema Makarasi akiwavesha makoti na vifaa vya pikipiki washindi wa shindano hilo
Afisa Uhusiano wa Efm Neema Makarasi akikabidhi pikipiki kwa Alphonce Daudi ambaye ni mshindi
Afisa Masoko wa kampuni ya SanMoto akikabidhi funguo kwa shindi wa shindano hilokwa Wanawake. 
Picha zote na Humphrey Shayo wa Globu ya Jamii.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...