Kutoka STESHENI YA PUGU - Dar es Salaam ambako leo tarehe 12 Aprili 2017 kuanzia saa Nne asubuhi, Mhe. Rais Magufuli ataweka jiwe la msingi na kuzindua ujenzi wa reli ya kisasa (standard gauge railway) wa awamu ya kwanza kutoka Dar es salaam hadi Morogoro.

Fuatilia moja kwa moja kupitia tovuti rasmi ya Rais, Bofya Link hapa chini. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...