Timu ya Maji Maji imelazimishwa sale ya 1 – 1 na Africa Lyon katika mchezo uliochezwa uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma, Goli la Africa Lyon limepatikana kipindi cha pili dakika ya 61 baada ya shuti kali lililopigwa na Peter Mwalyanzi, huku goli la Maji Maji limepatikana dakika ya 74 na Kelvin Sabato .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...