Timu ya Maji Maji imelazimishwa sale ya 1 – 1 na Africa Lyon katika mchezo uliochezwa uwanja wa Maji Maji mjini Songea mkoani Ruvuma, Goli la Africa Lyon limepatikana kipindi cha pili dakika ya 61 baada ya shuti kali lililopigwa na Peter Mwalyanzi, huku goli la Maji Maji limepatikana dakika ya 74 na Kelvin Sabato .
Home
Unlabelled
HIGHLIGHTS ZA MCHEZO WA MAJIMAJI VS AFRICA LYON
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...