Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika mahojiano
maalumu na Mkurugenzi Idara ya Habari (MAELEZO) Dkt. Hassan Abbasi
kuhusu masuala ya Muungano kwa ujumla kuelekea maadhimisho ya Miaka 53
ya Muungano.
Mkurugenzi Idara ya Habari
(MAELEZO) Dkt. Hassan Abbasi akimkabidhi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan Jarida la Nchi yetu
linalotolewa na Idara ya Habari ( MAELEZO). Jarida hilo liliandaliwa kwa
ajili ya maadhimisho ya Miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan (katikati) katika picha ya
pamoja na watumishi wa Idara ya Habari (MAELEZO) mara baada ya
mahojiano maalumu kuelekea Maadhimisho ya Miaka 53 ya Muungano( kutoka
kushoto ni Beatrice Lyimo, Dkt. Hassan Abbasi, Jonas Kamaleki na Hassan
Silayo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...