Kiongozi wa bendi ya Mapacha Bendi Jose Mara akiongoza safu wa uimbaji wa bendi hiyo katika shoo ya kumuaga  Kamishna wa TIRA , Islael Kamuzora
 Mpiga Drum wa bendi hiyo , Computer Drama akifanya yake katika shoo hiyo
 Mpiga Tumba wa bendi hiyo Njeki Mponda akipiga tumba katika shoo hiyo ya Mapacha Bendi
 James Bezi akitumbuiza nadani ya ukumbi wa Serena Hotel
 Erasto Mashine mpiga Kinanda wa bendi ya Mapacha Bendi akifanya yake katika shoo hiyo
 Mpiga gitaa , Kombora Solo akionyesha ujuzi wake ndani ya Mapacha Bendi ilipofanya shoo ya kumuaga Islael Kamuzora.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...