Aliyekuwa Katibu wa Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, Stanley Mkandawile ambaye sasa ameteuliwa kuwa Katibu wa CCM wilaya ya Lindi Mjini, akizungumza maneno ya Utangulizi, baada ya kupokewa na Mwangalizi Msaidizi wa Kituo cha Kulea Wazee wasiojiweza kilichopo Msimbazi Centre, Dar es Salaam, Sista Angelina (kushoto), wakati viongozi mbalimbali wa Jumuia hiyo walipofika kwenye kituo hicho ili kusalimia wazee hao na pia kuwazawadia vitu mbalimbali ikiwemo nguo, ikiwa ni sehemu za kuanza maadhimisho ya Siku ya Jumuia ya Wazazi ambayo kilele chake kitakuwa Machi 8, 2017 mjini Bukoba. Kulia ni Katibu wa CCM wilaya ya Ilala Lugano Mwafongo
Wakiendelea kufanya utambulisho
Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akisalimiana na Mkandawile alipowasili ili kkabidhiwa misaada
Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akisalimiana na Katibu wa Jumuia ya Wazazi Ilala Lugano Mwafongo,
Msimamizi wa Kituo cha Kutunza Wazee wasiojiweza cha Msimbazi Centre, Sista Wilibroda Mangwangi akiendelea kusalimia.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...