Kamishina Mstaafu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Bw. Israel Kamuzora akipokea zawadi kutoka kwa Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) wakati wa hafla ya kumuaga iliyofanyika jana kwenye hoteli ya Serena katikati ni Kamishna mpya wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Bw.George Sakware


Kamishina Mstaafu wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Bw. Israel Kamuzora akizungumza katika hafla ya kumuaga iliyofanyika kwenye Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam jana jioni mara baada ya kustaafu utumuishi wa Umma, Hafla hiyo iliandaliwa na mashirika mbalibali ya bima hapa nchini ambayo iikuwa na lengo la kumuaga Kamishna Mstaafu huyo na Kumkaribisha Kamishna mpya wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) Bw.George Sakware.
Kamishna mpya wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Bw.George Sakware akizungumza katika hafla hiyo kulia ni Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa Bw. Sam Kamanga na kulia ni Kamishna Mstaafu Bw. Israel Kamuzora.
Mkurugenzi wa Shirika la Bima la Taifa (NIC)Bw. Sam Kamanga akizungumza katika hafla hiyo huku Kamishna mpya wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Bw.George Sakware katikati akimsikiliza kushoto ni Kamishna Mstaafu Bw. Israel Kamuzora.

Baadhi ya Wageni waalikwa.

HABARI ZAIDI BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...