Mkurugenzi
Mkuu wa Kampuni ya Mafuta ya Engen Tanzania, Paul Muhato akisafisha
kioo kwenye moja ya magari ya wateja waliofika kuweka mafuta katika Kituo
cha Engen Mbezi Beach jijini Dar es salaam leo, ikiwa ni wiki ya huduma
kwa wateja ilioanza rasmi leo.
Sehemu
ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Mafuta ya Engen Tanzania wakionesha
ishara ya kuwakaribisha wateja mbalimbali wa Mafuta walioenda kuweka
mafuta kwenye Kituo chao kilichopo Mbezi Beach, Jijini Dar es salaam.
Engen wanaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kuanzia leo.
Mmoja wa Mafundi wa Magari wa Kampuni ya Engen Tanzania akiweka Oil katika moja ya gari baada ya kudundua kuwa imefungua.
BOFYA HAPA KUONA PICHA ZAIDI.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...