Burudani bureeeee...unaanzaje kukosaaaaa..... Uongozi wa Karibu Music Festival unawaletea burudani ya muziki bureeeee kwa wakazi wa Bagamoyo na sehemu mbalimbali tarehe 22/4/2017 pale Baga Point Bagamoyo. Karibu Min Festival ni sehemu ya maandalizi ya Tamasha kubwa la muziki live litakalofanyika kiwanja cha Mwanakalenge tarehe 3-5, November mwaka huu...
#TwenzetuBagamoyo APRIL 22 #KaribuMiniFestival #BagaPoint Ni BURE kabisa Hakuna Kiingilio.
#KaribuMiniFestival
#KaribuMusicFestival
100% #LiveMusic Toka Kwa #JagwaMusic , #SegereOrignal , #JustinGodykaozya , #Tabasamu , #ChikayaBuruya
#TukutaneBagamoyo
It's All About #KaribuMusicFestival2017
@karibumusicfestival
FAHARI YA TANZANIA.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...