Burudani bureeeee...unaanzaje kukosaaaaa..... Uongozi wa Karibu Music Festival unawaletea burudani ya muziki bureeeee kwa wakazi wa Bagamoyo na sehemu mbalimbali tarehe 22/4/2017 pale  Baga  Point Bagamoyo. Karibu Min Festival ni sehemu ya maandalizi ya Tamasha kubwa la muziki live litakalofanyika kiwanja cha Mwanakalenge tarehe 3-5, November mwaka huu...
#TwenzetuBagamoyo APRIL 22 #KaribuMiniFestival  #BagaPoint Ni BURE kabisa Hakuna Kiingilio.
#KaribuMiniFestival
#KaribuMusicFestival
100% #LiveMusic Toka Kwa #JagwaMusic ,  #SegereOrignal ,  #JustinGodykaozya , #Tabasamu ,  #ChikayaBuruya
#TukutaneBagamoyo
It's All About #KaribuMusicFestival2017
@karibumusicfestival
FAHARI YA TANZANIA.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...