Mkurugenzi waKampuni ya Jamii Media limited, Mike Mushi akiteta jambo na Wakili wake, baada ya kusomewa maelezo ya awali dhidi ya kesi yao ya mtandao inayomkabili pamoja na mkurugenzi mwenzake, Maxence Melo.
 Wakurugenzi wa Jamii Media Limited, Maxence Melo kulia na mwenzake Mike Mushi, wakiwa wakiwa nje ya mahakama ya Hakimu Kisutu baada ya kesi yao kupangiwa tarehe ya kuanza kisikilizwa.

Wanakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kuendesha shughuli za mtandao wa kijamii bila kusajiliwa na kuzuia polisi kufanya uchunguzi.

Kesi iliyopo mbele ya Hakimu Mkazi Mkuu Thomas Simba itasikilizwa Aprili 2 wakati kesi nyingine iliyopo mbele ya hakimu Victoria Nongwa itaanza kusikiliza Aprili 3, mwaka huu. Upande wa mashtaka umesema katika kesi hiyo utawasilisha mashahidi saba⁠⁠⁠⁠

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...