Kifimbo cha Malkia wa Uingereza maarufu (Qeens Baton) chatembezwa katika maeneo mbalimbali ya Daraja la Nyerere jijini Dar es salaam, Uongozi wa Shirika la taifa la Hifadhi ya Jamaii (NSSF) uliupokea msafara unaokitembeza Kifimbo hicho ambacho kinatarajiwa kuzungushwa maeneo mbalimbali ya Dar esalaam na Arusha.
Kaimu Meneja wa Miradi wa Shirika la taifa la Hifadhi ya Jamaii (NSSF), Radhia Tambwe akiwa ameshikilia kifimbo cha Malkia baada ya msafara wa Kifimbo hicho kufanya ziara katika Daraja la Kigamboni.
Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF wakikitembeza kifimbo cha Malkia kitika maeneo mbalimbali ya Daraja la Nyerere.
Baadhi ya wafanyakazi wa NSSF wakikitembeza kifimbo cha Malkia baara ya kutembezwa katika maeneo mbalimbali ya Daraja la Nyerere.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...