Bwana asifiwe.
Mchungaji kiongozi wa Usharika  wa Uduru pamoja na wajumbe wa Baraza la wazee wanaomba kukutana na Washarika wote wa Uduru wanaoishi mikoa  ya Dar es salaam na Pwani, ili kuwapa taarifa za Usharika wao, pamoja na kushiriki nao chakula cha jioni kwenye Ukumbi wa Golden Resort Sinza (Lion Street) tarehe 30 April 2017 saa 10.00 jioni.

Kushiriki kwako ni muhimu sana kwa maendeleo ya Usharika wetu. Taarifa hii mpe na mwenzako.

MUNGU AWABARIKI SANA.
Kwa maelezo zaidi wasiliana na:  

 Mzee Manaseh Mwana Ndanshau    0754 284 926                                                               
Bw. Niko Semu Mushi                        0715 310 995

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...