Bwana asifiwe.
Mchungaji kiongozi wa Usharika wa Uduru pamoja na wajumbe wa Baraza la wazee
wanaomba kukutana na Washarika wote wa Uduru wanaoishi mikoa ya Dar es salaam na Pwani, ili kuwapa taarifa za Usharika wao, pamoja na kushiriki nao
chakula cha jioni kwenye Ukumbi wa Golden Resort Sinza (Lion Street) tarehe 30 April
2017 saa 10.00 jioni.
Kushiriki kwako ni muhimu sana kwa maendeleo ya
Usharika wetu. Taarifa hii mpe na mwenzako.
MUNGU
AWABARIKI SANA.
Kwa maelezo
zaidi wasiliana na:
Mzee Manaseh Mwana
Ndanshau 0754 284 926
Bw. Niko Semu Mushi 0715 310
995
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...