Mwenyekiti wa KILIFM Sports Center akiongea na waandishi wa Habari (Hawapo pichani) kuhusu KILIFM International Marathon yanayolenga kuzuia mauaji ya Albino, utunzaji wa mazingira na uoto wa asili pia kuzuia mauaji ya Tembo nchini,leo Jijini Dar es Salaam. Kushoto ni mjumbe wa Chama cha Riadha Tanzania (RT), Bw. Peter Mwita.
D 1
Mratibu wa Mashindano ya mbio za KILIFM akizungumza na waandishi wa Habari (hawapo pichani) leo Jijini Dar es Salaam, kuhusu mashindano ya KILIFM International Marathon yanayotarajiwa kufanyika Augusti 13, Mwaka huu Mkoani Kilimanjaro.

Picha na: Beatrice Lyimo – MAELEZO.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...