Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akiwaongoza Wanachama wa Chama cha Wananchi Cuf Buguruni kwenda kuweka bendera katika Matawi mawili ya Sarafina na Aluta, uwekaji huo wa bendera ni sehemu ya ujenzi wa Cuf  wa kuamsha wanachama kujitambua na kujenga umoja baina yao ili wasiyumbishwe.
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala,Omary Kumbilamoto akipandisha bendera katika tawi la Aluta kuashiria ujenzi wa CUF Taasisi na sio mtu ili kurejesha umoja na kuinua hali ya chama
 Wananchama wa Chama cha Wananchi Cuf Vingunguti wakicheza mziki katika mkutano wa chma hicho uliofanyika katika kata ya Vingunguti
 Naibu Meya wa  Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto akikabidhi mfuko wa Saruji kwa Mwenyekiti wa tawi la Sarafina Zaid Mohamedi kwa ajili ya ujenzi wa kizmba cha tawi.
 Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala Omary Kumbilamoto akizungumza na Wanawake wa Chama cha Wananchi Cuf ambao walifika katika mkutano huo
Naibu meya wa Manispaa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akiwa katika meza kuu na baadhi ya Viongozi wa Chama cha wananchi Cuf katika mkutano wa kujenga Chama katika kata ya Vingunguti

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...