Umetimiza miaka 10 na siku 14 toka mwenyezi mungu alipokuchukua katika hospitali ya regency dsm tarehe 05/04/2007 siku ya alhamisi kuu. 
 
Unakumbukwa sana na mkeo mama Helena D. Ndege, wanao: Esaka D. N. Mugasa, James, Lawi, Anna, Mary, Lucy, Catherine, Tabu, Vicent, Joseph, Mwavisu, wanao wengine wote, Wajukuu, Vitukuu, ndugu, Jamaa, marafiki, wanafunzi wako, waalimu wenzio na majirani. 
 
Unakumbukwa pia kwa mchango wako mkubwa wa elimu hapa nchini toka ulipofungua shule ya msingi sirari mwaka 1954 ukiwa mwl. mkuu, na baadaye kufundisha katika shule za utegi, abainano, marasibora na wanyere. sisi tulikupenda sana lakini mungu alikupenda zaidi.
 
Jina la Bwana lihimidiwe. Amen.
 
Misa ya kumwombea marehemu imefanyika leo tarehe 18/04/2017 saa 4.00 asubuhi nyumbani kwake shinyanga mjini - mtaa wa lubaga.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...