Taarifa iliyoifikia Globu ya Jamii inaeleza kuwa Mabweni ya Chuo cha Uuguzi yaliyopo eneo la Ifisi Mbalizi, Mbeya, yameteketea kwa moto. Jeshi la Zimamoto na Uokoaji lipo eneo la tukio kuhakikisha mambo yanakaa sawa kutokana na moto uliozuka na kuteketeza baadhi ya mabweni hayo. Chanzo cha moto huo bado hakijajulikana. Habari kamili baadae kidogo
Sehemu ya ndani ya mabweni hayo baada ya kuungua.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...