- Wadau wa Elimu wapongeza na wamejitokeza kwa Wingi 

- Kongamano labainisha changamoto za elimu na mikakati ya kukabiliana Na changamoto zatajwa
- Lengo la KONGAMANO  ni kuongeza ufaulu na elimu bora katika Elimu YA msingi na sekondari
- Serikali ya Mkoa wakusudia kuanzisha mfuko wa Elimu kwa lengo la kusaidia Vifaa vya Maabara, ununuzi wa vitabu, motisha kwa walimu na wanafunzi wanaofanya vizuri na kuingiza Umeme mashuleni
- Mkuu wa mkoa aelekeza  wazazi na walezi kuchangia Chakula mashuleni na kushirikiana na serikali ktk ujenzi wa hostel
- Aagiza madai ya walimu yashughulikiwe kuanzia ngazi ya halmashauri kwa Yale ambayo yapo ndani ya uwezo wa halmashauri
- Mkoa umejipangia malengo ya  kuwa Miongoni mwa mikoa KUMI bora kitaifa
 - Maazimio ya kongamano yatakuwa ndiyo dira ya Elimu kimkoa na yataelekezwa katika ngazi zote.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...