Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mhe. Mrisho Gambo akizungumza na watendaji wa Kata na Mitaa(hawapo pichani) wakati wa Kikao kazi cha Ukusanyaji wa Kodi ya Majengo.
  Wajumbe wa Kikao wakifuatilia kikao kazi walichofanya na Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Mtendaji wa Mtaa wa Panga, Kata ya Kati Bi. Maria M. Singo(Aliyesimama) akichangia hoja kwenye kikao kazi kilichoitishwa na Mkuu wa Mkoa kwa ajili ya kuhamasisha ukusanyaji wa Kodi ya Mapato.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...