Naibu Meya wa Manispa ya Ilala, Omary Kumbilamoto akiwa amebeba toafali wakati wa zoezi la kufukia shimo katikati ya barabara ya Vingunguti kwa Mnyamani mara baada ya shimo hilo kutelekezwa na Dawasco kwa zaidi ya wiki mbili.
Naibu Meya wa Manispaa ya Ilala na Diwani wa Vingunguti, Omary Kumbilamoto akisogeza mchanga katika shimo lililochimbwa katika barabara ya Vingunguti kupitia kwa Mnayamani.
Roli la Mchanga likimwaga mchanga katika shimo hilo lilitolekezwa na Dawasco
Wananchi wakifukia shimo lililoachwa na Dawasco baada ya kulichimba na kubadirisha bomba jipya la maji safi vingunguti.
Wananchi wakifukia shimo lililoachwa na Dawasco baada ya kulichimba na kubadilisha bomba jipya la maji safi vingunguti.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...