Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabulla akikagua majalada katika masijala ya ofisi ya Ardhi, wilaya ya Kilombero – Morogoro. Walioambatana naye ni Kamishna wa ardhi msaidizi; Juliana Pila na Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Bwn. Ezekiel Mpanda.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabulla akitoa maelekezo kuhusu utunzwaji bora wa majalada kwa afisa ardhi mteule wa wilaya ya Kilombero – Morogoro. Walioambatana naye ni Kamishna wa ardhi msaidizi; Juliana Pila na Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Bwn. Ezekiel Mpanda.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabulla akitoa maelekezo kuhusu utunzwaji bora wa machapisho na nyaraka mbalimbali katika ofisi ya ardhi, kwa afisa ardhi mteule wa wilaya ya Kilombero – Morogoro.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Angeline Mabulla katika picha ya pamoja na watendaji wa ofisi ya Kanda ya kati (Morogoro), mradi wa kuwezesha umilikishaji ardhi (LTSP) na Mkurugenzi wa Idara ya Sera na Mipango, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi; Bwn. Ezekiel Mpanda.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...