Shirika la hifadhi ya jamii NSSF limetoa msaada wa simenti mifuko 800 na rolu 400 za nondo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika kijiji cha matama kata ya muhukuru halimashauri ya wilaya ya songea mkoani Ruvuma. Shirika hilo limechukua hatua ya kutoa msaada huo baada ya hadha kubwa waliyokuwa wanaipata wananchi hawa ya kufuata matibabu umbali wa kilometa 62 kama anavyobainisha meneja wa NSSF mkoa wa Ruvuma BI MARIAM MUHAJI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...