Shirika la hifadhi ya jamii NSSF limetoa msaada wa simenti mifuko 800 na rolu 400 za nondo kwa ajili ya ujenzi wa zahanati katika kijiji cha matama kata ya muhukuru halimashauri ya wilaya ya songea mkoani Ruvuma.
Shirika hilo limechukua hatua ya kutoa msaada huo baada ya hadha kubwa waliyokuwa wanaipata wananchi hawa ya kufuata matibabu umbali wa kilometa 62 kama anavyobainisha meneja wa NSSF mkoa wa Ruvuma BI MARIAM MUHAJI
Home
MICHUZI TV
NSSF YATOA MIFUKO YA SIMENTI 800 NA NONDO KWA AJILI YA UJENZI WA ZAHANATI KATIKA KIJIJI CHA MATAMA WILAYA SONGEA VIJIJINI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...