Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Mohammed Shein katikati akimkabidhi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma Jezi pamoja na Mipira kwa ajili ya mashindano ya maskuli vifaa vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Mohammed Shein katikati akimkabidhi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma Viatu vya mpira wa Miguu kwa ajili ya mashindano ya maskuli vifaa vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Mohammed Shein katikati akimkabidhi Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Riziki Pembe Juma Kikombe cha kushindaniwa katika mashindano ya maskuli vifaa vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk, Ali Mohammed Shein akitowa hotuba katika hafla ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali vifaa vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza Zanzibar. 
Baadhi ya Walimu na viongozi wa michezo katika maskuli waliohudhuria katika hafla ya Rais wa Zanzibar Dk,Ali Mohd Shein ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali vilivyotolewa na Muakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza Zanzibar. PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...