Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akikata utepe kuzindua Kituo Kipya cha Shirika la ZSTC cha Ununuzi wa karafuu katika Kijiji cha Mgelema leo, Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba akiwa katika ziara ya kikazi,(kushoto) Mkurugenzi Mwendeshaji wa Shirika la ZSTC Dkt.Said Seif Mzee.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimina na Viongozi mbali mbali mara alipowasili katika Kijiji cha Ngomeni Wilaya ya Cheke Chake Mkoa wa Kusini Pemba leo,kuzindua Jengo la Kituo ZSTC,ujenzi wa Kituo cha Afya na Umeme kijijini hapo akiwa katika ziara maalum ya kikazi.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake walipokuwa wakipata maelezo kutoka kwa Waziri wa Ardhi,Makaazi Maji na Nishati Mhe,Salama Aboud Talib wakati Dk.Shein alipofika katika kijiji cha Ngomeni Wilaya ya Chake chake leo kuangalia Umeme kijijini hapo sambamba na kuzindua Jengo la Kituo cha Ununuzi wa Karafuu cha ZSTC
Baadhi ya Mawaziri na Viongozi wengine waliohudhuria katika Uzinduzi wa Kituo Kipya cha Shirika la ZSTC cha Ununuzi wa karafuu katika Kijiji cha Ngomeni Wilaya ya Chake chake Mkoa wa Kusini Pemba,wakimsikiliza Waziri wa Wizara ya Biashara,Viwanda na Masoko Mhe,Amina Salum Ali alipokuwa akimkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,kuzungumza na Wananchi Kijijini hapo leo akiwa katika ziara ya kikazi
Transfoma Mpya iliyowekwa katika kijiji cha Ngomeni Wilaya ya Cheke Chake Mkoa wa Kusini Pemba,ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake akiwa katika ziara zake za kikazi katika Mkoa wa Kusini Pemba leo alifika katika kijiji hcho kuangalia Umeme kijijini hapo sambamba na kuzindua Jengo la Kituo ZSTC. Picha na Ikulu, Zanzibar.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...