Shirika la Ndege la RwandAir linataji kunzisha safari zake mara tatu kutokea Jijini Dar es Salaam kuelekea London Gatwick, kuanzia Mei 26, 2017 huku bei ikiwa ni kuanzia dola 200 bila gharama za viwanja. 
Akilizungumza hilo, Meneja mkazi wa Shirika la RwandAir hapa nchini, Ibrahim Bukenya amesema shirika lake limekuwa likizidi kukua siku siku hadi siku na kuendelea, kwani jana April 3, 2017 Shirika hilo limeanzisha safari zake kuelekea Bombay nchini India na Harare Zimbabwe. Shirika hilo la RwandAir litaanzisha safari zake nyingine nyingi katika mwaka huu wa 2017 na pia kuongeza ndege nyingine kubwa.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...