Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira, Kazi, na Watu wenye Ulemavu Mh. Jenista Mhagama, akipata maelezo kutoka kwa Kaimu meneja wa Rasilimali watu na Utawala wa Mamlaka ya Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bi Amina Ally alipotembelea banda la SSRA wakati wa Maonyesho ya Maadhimisho ya Siku ya Usalama na Afya Mahala pa kazi OSHA yanayoendelea mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Maafisa wa SSRA wakitoa ufafanuzi juu ya Masuala yanayoihusu Sekta ya Hifadhi ya Jamii kwa wadau waliotembelea banda la Mamlaka hiyo wakati wa Maonesho ya OSHA yanayoendeleaa Mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Afisa Uhisiano na Uhamasiahaji wa wa Mamlaka ya Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) Bw Ally Masaninga akitoa maelezo kwa wananchi waliotembelea banda la SSRA wakati wa Maonesho ya OSHA yanayondelea Mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Ajira, Kazi, na Watu wenye Ulemavu Mh. Jenista Mhagama akimkabidhi cheti cha Ushiriki Kaimu meneja wa Rasilimali watu na Utawala wa Mamlaka ya Usimamizi wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA) bi Amina Ally wakati wa kilele cha maonesho ya Siku ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi yanayoendelea Mjini Moshi Mkoani Kilimanjaro.
Wananchi wakisikiliza maelezo kutoka kwa afisa wa SSRA wakati wa maonesho ya OSHA yanayofanyika mjini Moshi mkoani Kilimanjaro.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...