TIB Corporate bank (TIB CBL) wameshiriki katika  jukwaa la biashara linalofanyika katika  ukumbi wa Rock City, jijini Mwanza.
Jukwaa hili limehusisha wadau mbalimbali Ili kujadili na kutambua fursa mbali mbali ktk mkoa wa mwanza Na namna ya kuwezesha maendeleo ktk Fursa hizo.
"TIB CBL ikiwa Ni benk ya serikali inalenga kufanikisha lengo la kuwezesha maendeleo ya nchi hivyo kuhakikisha kuwa watanzania wengi na wadau mbalimbali wanapata huduma Bora kabisa za kibenki Kwa gharama nafuu" amesema Ni Bi Theresia Soka mkuu WA kitengo Cha masoko Na mahusiano ya kampuni wa benki hiyo.
Akiwasilisha mada juu ya huduma zinazopatikana TIB Corporate bank (TIB CBL) ni Bi Theresia Soka mkuu  kitengo Cha masoko na mahusiano ya kampuni wa benki hiyo
 Wadau mbali mbali katika picha ya pamoja baada ya kufanyika kwa  jukwaa la biashara jijini Mwanza

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...